Sunday, May 30, 2010

miss iringa maloloso na makatuni ya kukata na shoka jamani

Miss IRINGA ni maloloso loso na makatuni ya kukata na shoka.
Baada ya aliyetarajiwa na watu kushika namba tatu watu walikua okey kwa sababu kazi iliyofanywa na mzee wa mbagala na mzee wa masogange kukonga nyoyo za watu,kwamadogo kuchuana effect na kufanya watu wasahau maloso loso yaliyotokea.
Nakua kama siamini kuona dada aliyejibi swali vizuri kushinda wote ,aliyekua mrefu kuliko wote, confidence kuliko yoyote naweza thubutu sema mzuri na educated ………………………………kuliko yeyote.
Cha ajabu Yule alieshindwa atakujibu maswali ndo amekua mshindi……………wizi mtupu

No comments:

Post a Comment